AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nafasi za Kazi Bonyeza HAPA
Maswali yanakua mengi, visirani vinakua vingi mpaka mwanaume unaanza kuwaza “Hivi kama miezi mitatu hivi ananuna mpaka mdomo unanuka kisa tu sijapokea simu yake nitaweza kuishi naye mpaka afe huyu?” Dada zangu mimi nawalewa, lakini unaja wako umekula huko na X wako, mmekaa miaka 7 unampikia na kumpakulia hajaja hata kwenu kuangalia TV, mimi nimejuana na wewe miezi mitatu unataka nikajitambulishe?
Unataka mwanaume akajitambulishe kwenu, mtu hata X wake hajaachana naye vizuri, mwingine alichawa anasubiri akama ataerudiwa au la unataka akajitambulishe kwenu halafu? Najua umri umeenda lakini punguza kasi, tena mwanamke unatakiwa kushtuka umekaa na mwanaume miezi mitatu anataka kuja kwenu kujitambulisha, narudia unatakiwa kushtuka kwani mara nyingi wa namna hiyo naye ni kichomi tu hivyo chunguza kidogo.
Hili swali la “Utakuja lini kwetu kujitambulisha?” Linavunja mahusiano mengi sana, wanawake wanakua na wasiwasi sana wa kuachwa mwanaume akishindwa kulijibu, kibaya Zaidi nikuwa mwanamke anakua na maswali mengi, wasiwasi ambao unageuka na kuwa kisirani, kwa namna hiyo mwanaume anakuchoka, hata kama una mzuka wa kuolewa acha kuuliza kwanza hembu msome mwanaume na si kukimbilia kuuliza wakati unaona matendo yake hayaelekei!
Nafasi za Kazi Bonyeza HAPA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK