Wanajeshi wa Boko Haram Wajionea Cha Mtema Kuni Kutoka Kwa Wanajeshi wa Cameroon

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanamgambo kumi wa kundi la kigaidi la Boko Haram waliuawa wakati wanajeshi wa Cameroon walipo wavumania katika eneo la Kaskazini mwa nchi hiyo.

Silaha zinazotumiwa na kikundi hicho cha kigaidi pia zilikamatwa wakati wa shambulio lililotokea Jumanne huko Manawadji, yanzo vya jeshi vilisema

"Magaidi walikuja kushambulia eneo hilo lakini hawakujua uwepo wa jeshi hilo. Wanajeshi waliwashambulia na kuwauwa saba papo hapo. Vita ya bunduki ilianza na ilidumu kwa zaidi ya saa tatu, wengine watatu waliuawa katika mchakato huo, " alisema afisa mwandamizi wa jeshi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad