Watu Wawili Wafariki Katika Vurugu Mpya Nchini Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Watu wawili wameripotiwa kufariki hapo jana baada ya kuzuka kwa vurugu mpya nchini Afrika Kusini.

Vurugu hizo zilizuka baada ya hotuba ya mwanasiasa Mangosuthu Buthelezi mjini Johannesburg, dhidi ya vitendo vya chuki dhidi ya wageni.

Watu 10, wakiwemo wageni wawili, waliuawa mjini humo juma lililopita, baada ya makundi ya watu kuvamia biashara zinazofanywa na raia wa kigeni.

Vurumai hizo zimesababisha mvutano wa kidiplomasia na nchi nyingine za kiafrika, hasa Nigeria, huku raia 640 wa Nigeria nchini Afrika kusini wakirudi nyumbani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad