AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mahojiano maalum na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Wellu ambaye ni mzazi mwenza wa komediani Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ alisema ameamua kurudi kwenye dini ya baba yake huku akibadili jina na sasa anaitwa Amina Sengo.
“Nimerudi kwenye dini ya baba yangu ambaye alikuwa Muislam na aliitwa jina la Juma Sengo.
Jina ambalo nilikuwa ninatumia la Wellu Juma Sengo, sasa nitakuwa natumia Amina Juma Sengo, nawaomba ndugu zangu wanishike mkono katika imani hii ingawa wengi wam enizodoa wakidai huenda nimepata mwanaume wa Kiislam ambaye anataka kunioa, lakini si kweli,” alisema Wellu ambaye hivi karibuni alitengana na Steve Nyerere.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK