AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Msemaji wa Polisi wa Kampala, ASP Luke Owoyesigyire, alisema Ssesanga alianza kuwapiga kwanza watoto wake wawili wa kiume kabla hajamshambulia marehemu, Salama Nassanga, aliyekuwa na umri wa miaka kumi.
Pamoja na Ssesanga kudai kwamba binti huyo alikufa wakati akikimbia kipigo, majirani wamesisitiza kwamba alimshambulia mtoto huyo na kumuua hapohapo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK