Aunt Ezakieli Afunguka Kuhusu kummiss Iyobe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMAMA mkali kutoka kiwanda cha filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amewajibu wanaomhoji kama amemmisi Mose Iyobo, lakini bado hajammisi baba mtoto wake, Moze Iyobo.



Aunt ameliambia Gazeti la Ijumaa kuwa kwa upande wake amekuwa na tabia kwamba akishamalizana na mtu, huwa hana muda wa kumfikiria kwani siku zote anaangalia mbele na siyo nyuma tena.



“Nahisi labda Cookie (mtoto wao) ndiye atakuwa anammisi baba yake, lakini kwa upande wangu hapana, nahisi kama tumeachana jana tu,” anasema Aunt ikiwa ni miezi kadhaa tangu alipotengana na Moze Iyobo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad