AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aunt ameliambia Gazeti la Ijumaa kuwa kwa upande wake amekuwa na tabia kwamba akishamalizana na mtu, huwa hana muda wa kumfikiria kwani siku zote anaangalia mbele na siyo nyuma tena.
“Nahisi labda Cookie (mtoto wao) ndiye atakuwa anammisi baba yake, lakini kwa upande wangu hapana, nahisi kama tumeachana jana tu,” anasema Aunt ikiwa ni miezi kadhaa tangu alipotengana na Moze Iyobo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK