AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya siku chache kuenea kwa taarifa kuwa Kylie Jenner kuachana na mpenzi wake, Travis Scott sasa inasemekana kuwa amerudiana na mpenzi wake wa zamani Tyga
Mtandao wa TMZ umeripoti kuwa mrembo Kylie Jenner alionekana akiwa anaingia hoteli ya Sunset Marquis ambayo ndani yake kuna studio za muziki Tyga anafanya kazi zake humo.
Baada ya muda mfupi Tyga alionekana akitoka katika hoteli hiyo huku Kylie Mwenyewe akitoka kwa kutumia mlango mwingine kukwepa mapaparazzi.
.
Kylie Jenner na Tyga walikuwa kwenye mahusiano kwa muda mrefu kabla ya kuachana na Kylie Jenner kuwa na Travis Scott ambaye wamefanikiwa kupata mtoto mmoja, Stormi Webstar.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK