AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Magufuli amesema kuwa amemsamehe kwa moyo wote Mbunge wa Mtama Nape Nnauye.
Rais Magufuli amesema hayo akiwa Mtama na kuwaomba wananchi hao, Wampe mbunge huyo ushirikiano wa kutosha ili kuijenga Mtama.
“Najua wananchi wako wanakupenda, Na mimi nakupenda. Ulifanya dhambi zako nikakusamehe. Nape nimeshamsamehe sio mtuhumiwa hana dhambi yoyote naomba mshirikiane nae kuijenga Mtama. ” Rais Magufuli.
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye mwezi uliopita alikutana na Rais Magufuli Ikulu kwa lengo la kuomba msamaha, Baada ya sauti yake kuvuja mitandaoni akimteta Rais.
Kwa upande mwingine, Rais Magufuli ametangaza kuwa Halmashauri ya Lindi Vijijini ibadilishwe na iitwe Mtama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK