JPM Amuwashia Moto Mbunge “Acha Kumchongea Mwenzio, Simfukuzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameataka viongozi kuacha malumbano yasiyo na tija na badala yak kujikita katika kuwahudumia wananchi wao ambao wamewapa dhamana kubwa ya kuwaletea maendeleo.


Magufuli amesema hayo leo Ijumaa, Oktoba 5, 2019 wakati akizungumza na wananchi a Songwe mara baada ya uzinduzi wa Barabara ya Mpemba – Isongole iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe na ujenzi wa Hospitali ya tunduma.



“Mh Rais kinachosababisha Ileje isiendelee zaidi ni Mkurugenzi wetu kutotoa ushirikiano kwetu amekuwa kikwazo,” amesema Mbunge wa Ileje Janet Mbene.



“Sitamtoa Mkurugenzi Ileje hadi nijiridhishe vizuri , viongozi tuache kuchongeana haya ndiyo yanayotukwamisha…. Mkurugenzi na Wizara msimamieni huyu mkandarasi afanye kazi usiku na mchana, ili ajue kuwa pesa za Watanzania sio za mchezo,” amesema Rais Magufuli.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad