AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kichapo cha juzi dhidi ya Pyramids Fc ya Misri, inaelezwa kuwa uongozi wa Yanga upo kwenye mchakato wa kuachana na Kocha wao Mkuu, Mwinyi Zahera. Maamuzi hayo yanakuja si baada tu ya mechi ya jana bali pia katika mechi za Ligi Kuu Bara ambapo Yanga imeonekana kutofanya vizuri.
Tetesi zilizopo hivi sasa zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa Kocha wa mabingwa hao wa Kihistoria, Mholanzi, Hans van der Pluijm, anaweza akarejea ndani ya timu hiyo muda wowote kuanzia sasa.
Hans aliinoa Yanga kwa mafanikio miaka ya hivi karibuni na kuipa ubingwa wa Ligi Kuu mara kadhaa ambapo sasa anatajwa kutua tena Jangwani.
Hans mara ya mwisho alikuwa Kocha wa Azam FC ambayo ilimtimua mapema baada ya kuingia naye mkataba kutokana na kufanya vibaya kwenye mechi za ligi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK