AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mboni Masimba inasemekana alifunga ndoa Septemba 6, 2019 na Mwanaume anayefahamika kwa jina la Ally Tajiri, ambaye imeelezwa kuwa ni mpenzi wake wa muda mrefu. Ndoa hiyo ilifungwa Masaki jijini Dar es Salaam.
Akipiga stori na Amani, Mboni alisema anajua kwamba mengi yamezungumzwa kumhusu yeye lakini atakapofunguka kila mtu atapata mbivu na mbichi kuliko watu kuendelea kuamini yaliyozungumzwa.
“Wakae tu mkao wa kula, nitaeleza kila kitu,” alisema Mboni.
Ndoa ya Mboni ilifanyika kwa usiri ambapo yaliibuka maneno mengi huku wengine wakidai kuwa ameolewa na aliyekuwa bwana wa rafiki yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK