AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tanasha kwa sasa anaishi maisha baabkubwa kwa kuwa baba wa mtoto wake huyo anamjali ile mbaya. Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani ya familia ya Diamond au Mondi, Tanasha kuwa na jamaa huyo kama baba wa mtoto wake ni jambo la kifahari kwake hivyo anadeka kadiri atakavyo.
Baada ya kumzalia Mondi, sasa Tanasha ambaye ni mtangazaji na msanii wa muziki wa Kizazi Kipya anajiona kama malkia.
Kuthibitisha hilo, mapema wiki hii alitupia picha kwenye Insta Story akiringishia simu ya bei mbaya aliyonunuliwa na Mondi kama zawadi. Kufuatia zawadi hiyo, Tanasha alishindwa kujizuia na kujikuta akishukuru mno kwa zawadi hiyo;
“Nina furaha sana sasa hivi, asante Diamond Platinum kwa upendo wako kwangu.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK