AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BONDIA Mtanzania, Hassan Mwakinyo amesema kuwa mpinzani wake, Arney Tinampay raia wa Ufilipino, hataweza kumaliza hata raundi mbili kwenye pambano lao litakalofanyika Novemba 29 kwenye Uwanja wa Uhuru.
Mwakinyo anatarajia kupanda ulingoni kuchapana na Tinampay anayeshika nafasi ya pili nchini kwao Ufilipino, kwenye pambano la raundi 10 la Super Water kilo 69.
Akizungumza na Kijiwe cha Ndondi, Mwakinyo alisema: “Kwa jinsi nilivyojiandaa na pambano hilo, sidhani kama Tinampay atafika raundi ya pili, kwa sababu mimi napenda sana kumpiga mtu kwa KO, hivyo natarajia kufanya hivyo hata kabla raundi ya pili haijaisha.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK