Nandy akibadilishana mikataba na uongozi wa Azania Group..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MAKAMPUNI ya Azania Group yanayomiliki Kampuni kubwa ya bidhaa za chakula nchini, leo Oktoba 10, 2019 imezindua sabuni zake mpya za unga ya King Limau na King Marhaba zenye ubora wa kimataifa na kumsainisha mkataba wa kuwa balozi wa bidhaa hiyo mwanamuziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles maafuru kama ‘Nandy’.


Wageni waalikwa wakifuatilia yaliyokuwa yakiendelea.

Tukio la kutiliana saini za mkataba wa kuitangaza bidhaa hiyo limefanyika Hoteli ya Hytt Regency, Kilimanjaro Hotel, ambapo Meneja uendelezaji wa kampuni hiyo, Joel Laiser amesema sabuni hizo ni bor, zenye ubunifu na kuondoa kila aina ya uchafu pale zinapotumika.



Laiser amewashauri Watanzania kutumia King Limau na King Marhaba kwa sababu licha ya ubora wake unaojidhihirisha, bado sabuni hizo zinbauzwa kwa bei chee.

Akizungumza mara baada ya kusaini mkataba huo, Nandy alisema kabla ya kuingia mkataba wa kuwa balozi wa sabuni hizo, alianza kuitumia King Limau na King Marhaba kwa zaidi ya wiki tatu na kujidhihirishia ubora wake ndipo akaukubali ubalozi huo.


Nandy alieleza kuwa unapotumia sabuni hizo kufulia hazichubui mikono wala kufubaza nguo kama zingine pia zina harufu nzuri.


Nandy akielezea ubora wa sabuni hiyo baada ya kuitumia kwa wiki tatu kabla kuingia mkataba huo.

“Katika matumizi ya sabuni siku zote mimi huwa napendaga sana yenye harufu nzuri, na hilo ndiyo jambo lililonifurahisha kwenye sabuni hizi,” alisma Nandy.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad