AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habarini za asubuhi wanajamvi...
Hakika kutoka ndani ya moyo wangu naomba kumpongeza Mh Rais kwa kwenda sambamba na RC Chalamila kuwachapa viboko wanafunzi waliochoma bweni kisa wamenyang'nywa simu..
Kwanza kuwa na simu ili hali wewe ni mwanafunzi ni kosa la kwanza na kuchoma bweni ni kosa la pili,
Kabla Mh Rais hajampongeza RC Chalamila Mimi nilimpongeza kimoyomoyo,kizazi cha sasa cha hovyo sana,tusipoenda nao kwa style hii walimu watapata tabu sana,
Kitu ambacho vijana hawa bado hawajakielewa Nchi imebadilika sana,wasifikiri tupo awamu ya nne ya mchezo mchezo hii ni awamu ya tano ya kazi tu hatuna muda na mambo ya kijinga kama haya eti unachoma bweni kisa kunyang'anywa simu wakati tayari umevunja sheria kumiliki simu shuleni?
Nakupongeza sana Mh Rais kwa kuliunga mkono hili,
Tukiendelea kulea mambo ya kijinga kama haya tutashindwa kupiga hatua...
Hongera Mh Rais
Hongera RC Chalamila
By Huko Kwenu Vipi/JF
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK