Simbu aipeperusha vyema bendera ya Tanzania China, Ashinda medali ya fedha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanariadha Alphonce Simbu amefanikiwa kupeperusha bendera ya Tanzania katika mashindano ya majeshi ya Dunia na kujinyakulia medali ya Fedha (Silver).


Mwanariadha huyo ‘private’ akiwakilisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, alimaliza baada kukimbia saa 2:11:16 huku akiwaahinda wakimbiaji wengne 95 kutoka nchi zaidi ya 30.

Katika mbio hizo mshindi wa Kwanza ni Luche Sumi kutoja Bahrain aliyekimbia 2:08:28, mshindi wa tatu ni mwanariadha kutoka Rwanda John Hakizimana akiyekimbia kwa karibu nyuma ya Simbu kwa 2:11:19.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad