AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanariadha huyo ‘private’ akiwakilisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, alimaliza baada kukimbia saa 2:11:16 huku akiwaahinda wakimbiaji wengne 95 kutoka nchi zaidi ya 30.
Katika mbio hizo mshindi wa Kwanza ni Luche Sumi kutoja Bahrain aliyekimbia 2:08:28, mshindi wa tatu ni mwanariadha kutoka Rwanda John Hakizimana akiyekimbia kwa karibu nyuma ya Simbu kwa 2:11:19.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK