Wananchi Wamfanyia Kitu Mbaya Meya..... Wamfunga Nyuma ya Gari na Kumburuzs kisa kutotimiza ahadi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu 11 wamekamatwa na kutiwa mbaroni kwa kosa la kumkamata meya wa kijiji chao kisha kumfunga katika gari na kumburuza mitaa mbalimbali. Polisi waliingia kati tukio hilo kwa na kumuondoa meya Jorge Luis Escandón Hernández ambae alipatwa na majeraha kidogo.



Hili ni shambulio la pili kutoka kwa wakulima hao ambao wanadai hawajatimiziwa ahadi alizotoa meya Hernández, ikiwemo ujenzi wa barabara.

Polisi zaidi wamepelekwa katika kijiji cha jimbo la Chiapas.

Picha zilizochukulia na CCTV kamera zinaonesha akiburuzwa huku akiwa amefungwa kamba katika mikono yake katika mitaa ya Santa Rita.

Iliwachukua kundi la polisi kadhaa kuweza kumuokoa katika kadhia hiyo, watu kadhaa walijeruhiwa baina ya polisi na watu hao.

Katika tukio la miezi kadhaa iliyopita watu wasiojulikana walivamia na kuharibu ofisi yake, lakini yeye hakuwepo.

Wakati wa uchaguzi wa kiti cha meya, Hernández alihusishwa pia na ghasia dhidi ya mpinzani wake lakini alichiwa kutoka na kukosekana kwa ushahidi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad