Yanga na Kupambana na Polisi Tanzania Bila kocha wao Mwinyi Zahera

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo inaendelea, Yanga itakuwa nyumbani (uwanja wa Uhuru) kucheza na Polisi Tanzania ya Kilimanjaro.

Yanga imecheza mchezo mmoja tu wa ligi na kupoteza kwa kufungwa goli 1-0 na Ruvu Shooting palepale kwenye uwanja wa Uhuru.

Polisi Tanzania ilishinda mchezo wake wa kwanza wa ligi dhidi ya Coastal Union lakini ikapoteza mchezo uliopita kwa kufungwa na Ruvu Shooting.

Yanga leo itamkosa kocha wake mkuu Papaa Zahera Mwinyi ambaye ataanza kutumikia adhabu ya kufungiwa kukaa kwenye benchi kwa mechi tatu kufuatia kuvaa mavazi ambayo si nadhifu kinyume na kanuni za ligi.

Baada ya kuikosa michezo miwili ya CAF Champions League kwa sababu za kikanuni, Yanga jana ilithibisha leo Molinga ataongoza safu ya ushambuliaji kwenye mchezo dhidi ya Polisi Tanzania.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad