AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BAADA ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’ kuthibitisha kuwa kwenye penzi jipya na staa wa Hollywood, Marekani mwenye asili ya Nigeria, Rotimi, jamaa huyo amekuwa akipondwa kinoma mitandaoni, kiasi cha kumfanya mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kumkingia kifua.
Wakati penzi hilo likiwa ndiyo habari ya mjini, baadhi ya watu wa mitandaoni hasa Instagram waliponda ‘kapo’ hiyo huku wakidai Rotimi ana pua kubwa, jambo lililomfanya Zari ambaye ni ‘eksi’ wa Diamond kujitosa kumtetea.
Katika moja ya posti za kumponda jamaa huyo kwenye Instagram, Zari aliandika; “Ndiyo maana wanaume tunawaficha siku hizi kwa sababu mashemeji wa Instagram hawajatulia kabisa, hakuna mtu sahihi hivyo mwacheni Vee (Vanessa).”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK