AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa kwanza alikuwa ni Hillary Daud ambaye aliungana na Maulid Kitenge katika kipindi cha usomaji magazeti majira ya asubuhi.
Jioni tena katika kipindi cha Sports Court, kupitia Wasafi FM, Mtangazaji George Ambangile naye alitambulishwa na atakuwa pia anasikika kwenye Sports Arena.
Usajili wa watangazaji hao umezidi kuwa gumzo haswa katika kitengo cha michezo kutokana na watangazaj maarufu kusajiliwa ndani ya kituo hicho.
Gumzo lilianza kutokana na usajili wa mwanzo ambapo Maulid Kitenge sambamba na mchambuzi maarufu Edo Kumbwembe walipotangazwa na kutambulishwa kwa bashasha Jumatatu ya wiki hii ambao waliambatana na Yusuph Mkule, Mwanaidi Suleiman na Ahmed Abdallah.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK