Alikiba Apata Tuhuma za Kutumia Maneno ya Wasanii Wenzake Bila Ruhusa, Ashauriwa Kuongeza Ubunifu – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Ali Salehe Kiba alimaarufu Ali Kiba amepata tuhuma za kutumia neno ambalo wasanii wenzake walikuwa wanalitumia kama alama ya kuwasaliana na mashabiki wao.

Wakiongea na Bongo5 wasanii wawili ambao wanafanya muziki pamoja Mandojo na Domokaya wameeza jinsi walianza kulitumia neno ambalo Alikiba analitumia huku wakidai alikiba analitumia bila ruhusa yao.

“Yeeh baba sisi tumeanza kuitumia muda sana na kila mtu anajua kuwa Yeeeh baba ni yetu, sasa Alikiba yeye kaichukua na kuanza kuitumia bila ruhusa yetu”

VIDEO:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad