Aunty Ezekiel achoshwa na watu wanaomponda Wema kujikondesha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Aunty Ezekiel ameshangazwa na mashabiki wa Wema Sepetu kwa kumshambulia mrembo huyo baada ya kupunguza mwili wake.



Akiongea na Bongo5, Aunty amesema kuwa mwanzoni watu hao wanaoponda walikuwa wanamuita Nyumbu kutokana na muonekano wake sasa hivi kajikondesha wanamponda tena.

Kwa upande mwingine, Aunty amesema kuwa kwa sasa anatamani sana aongeze mtoto  mwingine na mpenzi wake mpya, Hii ni baada ya kuachana na mzazi mwenzie densa, Mose Iyob
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad