AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5, Ommy amesema kuwa biashara ya muziki sio kama biashara ya nyanya hivyo hata ushindani wake ni mkubwa kwa hiyo vitu kama bifu vinaweza vikatumika kuuza kazi zako zaidi.
“Biashara ya muziki haiwezi kuwa kama biashara ya nyanya, Lazima kidogo kuwepo na bifu ile ya kuchangamsha gemu. Ndio maana unaona kuna vitu kama ‘Penseli’ kwa hiyo ni vitu vizuri ila tusiuane tu,“amesema Ommy Dimpoz.
Mwaka jana, Ommy Dimpoz aliingia kwenye vita ya maneno na msanii mwenzake Diamond Platnumz jambo ambalo mpaka leo limewafanya wawili hao kuishi maisha ya Chui na Paka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK