Halima Mdee amaliza adhabu yake, afanyiwa sherehe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Jimbo la Kawe-Dar es Salaam Mhe. Halima Mdee na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA), aliyekuwa nje ya Bunge kwa adhabu ya kutohudhuria mikutano viwili amemaliza adhabu hiyo.

Baada ya adhabu yake kumalizika siku ya jana na kuanza kuhudhuria vikao vya Bunge alifanyiwa sherehe katika hafla iliyoandaliwa na Wanachama wenzake. Halima aliwashukuru wanachama wenzake kwa kuwa naye bega bega tangu alipopewa adhabu hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad