Jeshi La Polisi Lamsaka Mkufunzi Aliyesababisha mauaji ya Vijana wawili waliokuwa kwenye mafunzo ya Jeshi la Mgambo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi Mkoani Singida wanamsaka Mkufunzi Msaidizi wa Jeshi la Akiba Said Ng'imba kwa tuhuma za mauaji ya Vijana wawili waliokuwa kwenye mafunzo ya Jeshi la Mgambo Kata ya Mudida Singida.

Kamanda wa Polisi Singida, Sweetbert Njewike amesema Wanafunzi hao wanadaiwa kufariki baada ya kupewa adhabu iliyopitiliza kwa kutakiwa watumbukie ndani ya dimbwi lililojaa maji ya mvua kitendo kilichopelekea wapoteze maisha kwa kushindwa kupumua.

Inadaiwa Mkufunzi aliwapa adhabu hiyo baada ya Wawili hao kutuhumiwa kutoshiriki ipasavyo mafunzo ya November 19 mwaka huu.

"Wanafunzi hao baada ya kutumbukia kwenye maji hawakuibuka, Mkufunzi akatoweka haraka na kukimbiia kusikojullikana, tunaendelea kumsaka"-Amesema

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad