Kenya Afisa wa Jeshi mbaroni kwa kumnyonga Mkewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Afisa wa Jeshi nchini Kenya Peter Mwaura, amedaiwa kuwauwa kwa kuwanyonga watoto wake wawili pamoja na mkewe na kuwazika katika kaburi la pamoja eneo la Nanyuki, nchini Kenya.


Maafisa wa uchunguzi wanaochunguza tukio hilo, wamesema miili ya Mama na wanawe wawili, waliotoweka wiki tatu zilizopita eneo la Nanyuki, Kaunti ya Laikipia baada ya kumtembelea Peter Mwaura, ambaye ni Afisa wa Jeshi wa kikosi cha Wanahewa cha Laikipia Airbase.

Kwa mujibu wa Afisa anayefuatilia upelelezi wa kesi hiyo Muinde Mwau, mshtakiwa Peter Mwaura atafikishwa mahakamani hii leo Novemba 18, 2019, huku upasuaji wa miili hiyo ukitarajiwa kufanyika hivi karibuni, kwa ajili ya uchuguzi wa tukio hilo.

Kwa mujibu wa taarifa za mwanzo Joyce Wambua, alimtembelea aliyekuwa mumewe Peter Mwaura ambaye ni Afisa wa Jeshi, kutoka Nairobi hadi Nanyuki, lakini siku iliyofuata Wambua na mwenzake hawakuonekana, na simu yake ikipatikana kwenye gari la abiria ikidaiwa kuwa ilikuwa njama ya kupoteza ushahidi wa mauaji hayo.

Inadaiwa kuwa Afisa huyo alichukua hatua hiyo baada ya kuagizwa na Mahakama kulipa kitita cha shilingi Elfu 75000, kila mwezi kama ada ya utunzaji watoto, hii ni baada ya kuachana na mkewe pesa ambazo alizilipa kwa miezi mitatu tu kabla ya kufanya kitendo hicho cha kinyama.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad