GODBLESS Lema Amcharua Waziri Jafo Amtaka Aache Kuongea Kama Kijana Anaye Balehe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Arusha mjini (Chadema), Godbless Lema, amemjia juu waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo kwa kumtaka aache kuongea kama kijana anaye balehe kwani chanzo cha amani duniani ni dhuluma katika uchaguzi.

Lema aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa Jafo anatakiwa kuchunga kinywa chake kuhusu mambo muhimu yanayohusu ustaarabu , mshikamano, utawala bora na ustawi wa nchi.

Alisema duniani kote dhuluma katika uchaguzi zimekuwa ni sababu za uvunjifu wa amani. “Kuna siku mtalipa gharama za matendo yenu,” alisema Lema.

Lema aliandika ujumbe huu”Waziri Jafo acha kuongea kama kijana anaye balehe, chunga kinywa chako kuhusu mambo muhimu yanayohusu ustaarabu, mshikamano, utawala bora na ustawi wa nchi , Duniani kote dhuluma katika uchaguzi zimekuwa sababu za uvunjifu wa amani. Kuna siku mtalipa gharama za matendo yenu,” alieleza Lema.

Chadema jana ilitangaza uaamuzi wake wa kutokushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa kutokana na figisu mbalimbali walizofanyiwa, hivyo hawapo tayari kuendelea na mchakato huo.

baada ya kutolewa kwa taarifa hiyo, Jana Waziri Jafo alisema ameshangazwa na kitendo cha Chadema kujitoa katika uchaguzi wakati kanuni zinawapa zipo wazi zinamruhusu mtu yoyote kukata rufaa


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad