AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika taarifa, jeshi hilo limesema kuwa mmoja wa wafanyikazi hao alipata majeraha ya risasi na mwengine kupata mshtuko na wote wawili kuhamishwa hadi katika hosipitali iliyokuwa karibu.
Meli hiyo inayomilikiwa na kampuni ya Micoperi nchini Italia, hutumika kwa usambazaji katika sekta ya mafuta nchini Mexico.
Kulingana na ripoti za vyombo vya habari katika eneo hilo, boti hilo lilikuwa na wafanyikazi 35 wakati shambulizi hilo lililopotekelezwa kando ya mji wa Ciudad del Carmen katika jimbo la Campeche.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK