Mexico: Maharamia washambulia meli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la wana maji nchini Mexico limesema jana kuwa maharamia wameshambulia meli iliyokuwa na bendera ya Italia katika ghuba ya Kusini ya Mexico na kuwajeruhi wafanyikazi wawili wa meli hiyo katika shambulizi la hivi punde zaidi la wizi na uharamia kukumba sekta ya mafuta na miundo mbinu katika eneo hilo.

Katika taarifa, jeshi hilo limesema kuwa mmoja wa wafanyikazi hao alipata majeraha ya risasi na mwengine kupata mshtuko na wote wawili kuhamishwa hadi katika hosipitali iliyokuwa karibu.

Meli hiyo inayomilikiwa na kampuni ya Micoperi nchini Italia, hutumika kwa usambazaji katika sekta ya mafuta nchini Mexico.

Kulingana na ripoti za vyombo vya habari katika eneo hilo, boti hilo lilikuwa na wafanyikazi 35 wakati shambulizi hilo lililopotekelezwa kando ya mji wa Ciudad del Carmen katika jimbo la Campeche.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad