AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Soka ya Simba SC imeiadhibu bila huruma Mbeya City baada ya kuifunga goli 4 kwa sifuri kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam huku Medie Kagere akiendeleza moto wake wa kufunga
Mabao ya Simba yamefungwa na Medie Kagere dakika ya 8 kwa mkwaju wa penati huku mabao mengine yakifungwa na Clatous Chama dakika ya 43, Shiboub dakika ya 78 na Deo Kanda dakika ya 87.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK