Simba Yapeleka Kilio Mbeya City

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Soka ya Simba SC imeiadhibu bila huruma Mbeya City baada ya kuifunga goli 4 kwa sifuri kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam huku Medie Kagere akiendeleza moto wake wa kufunga

Mabao ya Simba yamefungwa na Medie Kagere dakika ya 8 kwa mkwaju wa penati huku mabao mengine yakifungwa na Clatous Chama dakika ya 43, Shiboub dakika ya 78 na Deo Kanda dakika ya 87.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad