Wajue wanamuziki 10 wakubwa Afrika, Diamond yumo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha ya wasanii 10 wakubwa zaidi Barani Afrika Kwenye Orodha iliyotajwa na Shirika la Habari CNN pia wametajwa 'African Giants' wengine kama Burna Boy, Davido, Wizkid, Yemi Alade, Tiwa Savage, Mr Eazi, Sho Madjozi, Busiswa Gqulu na Slapdee.

Diamond Platnumz ametajwa kwenye orodha hiyo kufuatia Ukubwa wa nyimbo zake na alizoshirikishwa pamoja na Matamasha aliyoyafanya na Tuzo mbalimbali alizowahi kushinda huku wakitolea mfano Tuzo za MTV EMA za Mwaka 2015 ambapo Diamond aliweka rekodi kwa kuwa masanii wa kwanza Afrika kushinda tuzo hizo mbili ndani ya Usiku Mmoja.

1. Burna Boy: Nigeria
2. Angelique Kidjo: Benin
3. Diamond Platnumz: Tanzania
4. Yemi Alade: Nigeria
5. Tiwa Savage: Nigeria
6. Wizkid: Nigeria
7. Mr.Eazi: Nigeria
8. Sho Madjozi:Afrika Kusini
9. Busiswa Gqulu: A. Kusini
10. Slapdee: Zambia
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad