Wanusurika Kifo, Waibiwa Baada ya Kula Biskuti Walizopewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


ABIRIA  wawili waliokuwa wanasafiri na basi la kampuni ya Buti la Zungu kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Mtwara wamenusurika kifo baada ya kupewa biskuti zinazodhaniwa kuwa na dawa za kulevya na wakaibiwa.


Abiria hao ambao ni Dadi Rashid, Ofisa Elimu Taaluma wilayani Rufiji,  na Omary Burian ambaye ni mfanyakazi wa Bodi ya Korosho Dar es Salaam, wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad