AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ABIRIA wawili waliokuwa wanasafiri na basi la kampuni ya Buti la Zungu kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Mtwara wamenusurika kifo baada ya kupewa biskuti zinazodhaniwa kuwa na dawa za kulevya na wakaibiwa.
Abiria hao ambao ni Dadi Rashid, Ofisa Elimu Taaluma wilayani Rufiji, na Omary Burian ambaye ni mfanyakazi wa Bodi ya Korosho Dar es Salaam, wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK