Zahera afunguka “Nimetoa zaidi ya Milioni 100 Yanga sitowadai, Wachezaji pia wamenikopa”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha Mwinyi Zahera katika mahojiano na Clouds FM katika kipindi cha SporsXtra amenukuliwa akisema “Pesa ambazo nilikuwa nazitoa Yanga nilikuwa nafanya hivyo kwa kusaidia hakuna siku nimetoa pesa nikadai wanirudishie. Tangu nimefika Yanga nimesaidia pesa ambayo inaweza kufika hata dola ($) 50,000 (zaidi ya Tsh. milioni 100). Kuna wakati wachezaji walikuwa wananifata wanaomba niwaazime pesa halafu watanirudishia wakilipwa mishahara yao.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad