AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha Mwinyi Zahera katika mahojiano na Clouds FM katika kipindi cha SporsXtra amenukuliwa akisema “Pesa ambazo nilikuwa nazitoa Yanga nilikuwa nafanya hivyo kwa kusaidia hakuna siku nimetoa pesa nikadai wanirudishie. Tangu nimefika Yanga nimesaidia pesa ambayo inaweza kufika hata dola ($) 50,000 (zaidi ya Tsh. milioni 100). Kuna wakati wachezaji walikuwa wananifata wanaomba niwaazime pesa halafu watanirudishia wakilipwa mishahara yao.”
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK