AL SHABAAB Tena..Wavamia Hotel na Kuanza Kufyatua Risasi Somalia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Milio ya risasi imerindima kati ya Wanamgambo wa Al-Shabaab na Walinzi wa Hoteli ya Kifahari ya SYL katika Mji Mkuu wa Somalia, Mogadishu

Al-Shabaab wamevamia hotel hiyo iliyo karibu na Makazi ya Rais inayotumiwa zaidi na viongozi wengi wa Kisiasa wakiwemo Mawaziri

Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Wapiganaji hao wa Al-Shabaab waliingia hotelini hapo wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Somalia na kuanza kufyatua risasi

Idadi ya Vifo bado haijajulikana lakini wakati wa kufyatua risasi kulikuwa na Viongozi kadhaa ambao baadhi hawajulikani walipo na wengine walifanikiwa kutoroka kwa kuruka ukuta
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad