AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Milio ya risasi imerindima kati ya Wanamgambo wa Al-Shabaab na Walinzi wa Hoteli ya Kifahari ya SYL katika Mji Mkuu wa Somalia, Mogadishu
Al-Shabaab wamevamia hotel hiyo iliyo karibu na Makazi ya Rais inayotumiwa zaidi na viongozi wengi wa Kisiasa wakiwemo Mawaziri
Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa kuwa Wapiganaji hao wa Al-Shabaab waliingia hotelini hapo wakiwa wamevaa sare za Jeshi la Somalia na kuanza kufyatua risasi
Idadi ya Vifo bado haijajulikana lakini wakati wa kufyatua risasi kulikuwa na Viongozi kadhaa ambao baadhi hawajulikani walipo na wengine walifanikiwa kutoroka kwa kuruka ukuta
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK