Bwana na Bi Harusi Wajinyonga KISA Madeni ya Sherehe Yao ya Harusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtandao wa Kenya today umeripoti kuwa wanandoa wawili Keneth na Mary Odipo waliofunga ndoa ya kifahari huko Kisumu wiki mbili zilizopita wamejiua kutokana na kuandamwa na mzigo mkubwa wa madeni.

Inaelezwa kuwa ndoa yao iligharimu kiasi cha Ksh 7.9Million, sawa na karibu Milioni 170 za Kitanzania, sehemu kubwa ya fedha hizo zikiwa ni mkopo.

Keneth alikusudia kufunga ndoa ya Ksh 500,000 sawa na karibu Milioni 10 za Kitanzania, lakini mchumba wake Mary alimshawishi watafute fedha zaidi ili wafunge ndoa ya kifahari, ambayo pamoja na mambo mengine maharusi na wazazi wa pande zote mbili wangeletwa ukumbini kwa Helcopter za kukodi.

Mary alimuongezea Keneth Ksh 1 milion, sawa na milioni 20 za kitanzania, michango ya marafiki na jamaa ilifikia Ksh 2milion sawa na Milioni 40 za kitanzania na kiasi kilichobakia walikopa bank na kwa marafiki zao.

Inaelezwa kuwa walitarajia kulipa sehemu ya madeni hayo kutokana na zawadi za harusi ambazo wangepata, lakini hawakupata zawadi kubwa za kuweza kufidia madeni wanayodaiwa. Pamoja na kujiua, bank ya DTB imesema itapiga mnada nyumba ya wanandoa hao, iliyopo huko Nyalenda estate kufidia deni walilokopa bank.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad