AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dully ameyasema hayo Disemba 17, 2019, kupitia Planet Bongo ya East Africa Radio, wakati anatoa maelezo ya uwepo wa picha ya Wema kwenye ukurasa wake wa Instagram.
"Unajua mbali na kuimba mimi pia ni shabiki wa wasanii wa aina tofauti na muziki, kuanzia HipHop, Jazz, tukija kwa Wema mimi namchukulia kama pambo, yule ni Miss Tanzania mwenye ushawishi mkubwa miongoni mwa Mamiss wenye ushawishi, kama yeye haina maana simkubali Joketi au wengine hapana." amesema Dully Sykes
Aidha Dully aliendelea kusema "Wema namkubali sana namuita mwanangu ananiita Baba yaani hata akija Rihanna au Jennifer Lopez wakimuona Wema"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK