Familia Yenye Nguvu zaidi Ufilipino Yahukumiwa Kwa Mauaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahakama nchini Ufilipino imewahukumu wanachama kadhaa wa ukoo ulio na ushawishi mkubwa wa kisiasa, kwa makosa 57 ya mauaji ya miaka 10 iliyopita yanayohusiana na uchaguzi.

Jaji Jocelyn Solis Reyes amewahukumu kifungo cha maisha au miaka 40 jela bila msamaha jumla ya watuhumiwa 27 kwa kukutwa na hatia ya kushiriki katika mauaji hayo.

Watuhumiwa wengine 15 walitiwa hatiani kwa kuwa washiriki wakati wa mauaji hayo na kuhukumiwa kifungo cha miaka sita jela, huku washitakiwa wengine zaidi ya 50 wakiachiliwa huru.

Mauaji ya mnamo Novemba 23 mwaka 2009 katika jimbo la Maguindanao kusini mwa mji mkuu, Manila, yalizusha hasira nchini Ufilipino na kimataifa, na yalimulika kukosekana kwa uwajibishwaji wa kisheria nchini humo. Watu 58 waliuawa wakati wa mauaji hayo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad