AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada ambaye kwasasa hivi amekuwa haonekani kwenye Tasnia ya uigizaji hapa Bongo, Husna Sajenti ameweka wazi kuwa hakuwahi kuwa kwenye mahusiano na Msanii wa singeli Dulla Makabila.
Akiwa kwenye moja ya interview Husna aliulizwa "unayazungumziaje mahusiano ya mpenzi wako wa zamani Dulla Makabila huko mitandaoni vipi hayakusumbui"
"Labda niseme ukweli Dulla hakuwahi kuwa mpenzi wangu ile ilikuwa ni kiki tu kwani hata nikiwaonesha chat zetu namuita kabisa dogo yani kuwa siwezi kuumia kwa mahusiano yake" amejibu Husna Sajenti
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK