AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiungo Mshambuliaji wa klabu ya Difaa El Jadida na timu ya taifa ya Tanzania, Simon Msuva amesaini mkataba mpya wa miaka miwili ndani ya klabu yake. Mkataba utakaomuweka kwenye klabu hiyo hadi mwaka 2021.
Msuva alikuwa anahusishwa kurudi katika klabu yake ya zamani ya Yanga lakini kwa upande wake ametamani kubaki katika klabu hiyo ambayo inashiriki ligi kuu ya nchini Morroco.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK