AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi wakiongozwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro wamefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa Mauaji kumuua kwa shoka Marry Richard Mushi
Akizungumzia tukio la kukamatwa kwa Mtuhumiwa Moses latiaeli Pallangyo , kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Jonathan Shana amesema Jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi pamoja na mkuu wa wilaya ya Arumeru waliweka mtego ambao kwa takribani siku tatu ulifanikiwa kumkamata mtuhumiwa katika eneo la ngaramtoni tarafa ya mukulat wilaya ya Arumeru akiwa katika harakati za kukimbilia nchi jirani.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK