VIDEO: Aliyemuua Mkewe kwa Shoka Akamatwa Kininja ''Alikua Mafichoni''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi wakiongozwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro wamefanikiwa kumkamata mtuhumiwa wa Mauaji kumuua kwa shoka Marry Richard Mushi

Akizungumzia tukio la kukamatwa kwa Mtuhumiwa Moses latiaeli Pallangyo , kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi Jonathan Shana amesema Jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi pamoja na mkuu wa wilaya ya Arumeru waliweka mtego ambao kwa takribani siku tatu ulifanikiwa kumkamata mtuhumiwa katika eneo la ngaramtoni tarafa ya mukulat wilaya ya Arumeru akiwa katika harakati za kukimbilia nchi jirani.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad