Waliomuita Darleen Mgumu Wameumbuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


FIRST lady wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’ amesema, waliokuwa wakimuita mgumu, sasa wameumbuka baada ya kufunga ndoa hivi karibuni.

Akipiga stori na Showbiz, Darleen amesema anamshukuru Mungu kwa kumpa mume maana watu wengi walikuwa wakimfikiria tofauti kwamba siyo mwanamke wa kuolewa na kumtolea maneno mabaya kuwa ni mgumu, hivyo wameumbuka.

“Jamani wale waliokuwa wakiniita mgumu wako wapi? Ni hivi, kila jambo na wakati wake, namshukuru Mungu amenijaalia mume na mimi ni mke wa mtu sasa. Wale wenye fikra potofu, wajue wa-kati wa-ngu sasa umefika, wao wabaki hivyo-hivyo,” amesema Queen Darleen ambaye ni dada wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond.

IMELDA MTEMA
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad