Watu Saba Wakutwa Wamefariki Barabarani Nchini Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Miili ya watu saba iliyokuwa na majeraha ya bunduki imepatikana hapo juzi nchini Afrika Kusini karibu na barabara kuu katika mji mkuu wa Johannesburg,

Msemaji wa polisi nchini humo Noxolo Kweza alisema waliofariki wanashukiwa kuhusika na uchimbaji haramu wa madini.

Wahasiriwa hao, ambao wote ni wanaume wenye umri kati ya miaka 30 hadi 40, bado hawajatambuliwa.

Kumekuwa na mapigano kati ya wachimbaji haramu hapo zamani, lakini bado haijulikana kama vifo hivyo vilihusishwa na mapigano hayo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad