Watu Wapigwa na Kauli za Mchungaji Patience Akpabio Kutoka Nigeria..Adai Wanawake Lieni Kwa Sauti Mkiwa 6 Kwa 6

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu wapigwa na butwaa kwa kauli ya mwanadada huyo mchungaji wa Nigeria pichani !

Mchungaji huyo kwa jina la Patience Akpabio amejitosa kuwapa ushauri wanandoa kwa kusema, mwanadada unapokuwa sita kwa sita na mumeo hakikisha unapaza sauti kubwa za kimahaba hadi majirani wasikie akidai sauti hizo zenye nguvu zitasababisha mzae watoto wenye nguvu na kuweza kupaza sauti wapiganie haki zao katika maisha, lakini ikiwa kinyume chake, mwanadada upo kimya tu Kwenye uwanja wa mahaba basi tegemea kuzaa watoto domo zege wasioweza kunyanyua mdomo kupaza sauti kupigania haki zao.

Huyo pichani ni mumewe na amempa ujiko kuwa sebene lake Kwenye sita kwa Sita sio la mchezo mchezo.

Kauli ya mchungaji huyo wa kike wa kanisa la City of Praise WorldWide Prophetic Ministeries, hata hivyo, imewaacha watu na maswali mengi huku wengine wakimpinga waziwazi Baada ya post yake kusambaa, 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad