AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji huyo kwa jina la Patience Akpabio amejitosa kuwapa ushauri wanandoa kwa kusema, mwanadada unapokuwa sita kwa sita na mumeo hakikisha unapaza sauti kubwa za kimahaba hadi majirani wasikie akidai sauti hizo zenye nguvu zitasababisha mzae watoto wenye nguvu na kuweza kupaza sauti wapiganie haki zao katika maisha, lakini ikiwa kinyume chake, mwanadada upo kimya tu Kwenye uwanja wa mahaba basi tegemea kuzaa watoto domo zege wasioweza kunyanyua mdomo kupaza sauti kupigania haki zao.
Huyo pichani ni mumewe na amempa ujiko kuwa sebene lake Kwenye sita kwa Sita sio la mchezo mchezo.
Kauli ya mchungaji huyo wa kike wa kanisa la City of Praise WorldWide Prophetic Ministeries, hata hivyo, imewaacha watu na maswali mengi huku wengine wakimpinga waziwazi Baada ya post yake kusambaa,
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK