AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nilipita club moja nikaopoa changudoa moja ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kimoja hapa mjini. Kabla sijapiga mambo alinidai nimpe chake kabisa nikampa tukaenda zetu kuburudika.
Sasa kwa vile ni toto limeumbika balaa kama mnavyo muona Hapo Juu kwenye picha nikachukua namba ili nilitafune tena siku nyingine na yeye akaomba yangu nikampa.
Sasa nashangaa baada ya hiyo siku ananitumia kibao za kuniomba hela na kuniambia ananipenda anataka kuwa wangu kimoja wakati anajua madhingira tuliyokutana na jinsi alivyojiweka kimaliya kwa kuniaomba hela kwanza kabla hajania mchezo , mie najua uhusiano wetu ni wa nipe nikupe.
Sijamtumia ananisumbua sana mpaka kero sasa. Sasa sijui nifanye nini kwa uzuri ni mzuri hasa hasa umbo na weupe wake ndio wanichanganya..////ila ile fact ya kuwa nilimkuta katika madhingira ya kujiuza inaniumiza kichwa nahisi sinta kuwa na amani nikimkubalia...
Nifanyaje wadau ? Nimtose ama?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK