Flaviana Matata “Tukubali Tukatae Diamond Muziki Wake Unasikilizwa Sana Marekani Wengine ni Alikiba na Vanessa Mdee” – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Tanzania, Flaviana Matata amefunguka na kuweka wazi kuhusu ukuaji wa muziki wa Bongo Fleva.


Akiongea na Bongo 5 Flaviana amesema kuwa kwa sasa muziki wetu unakua sana na hasa katika taifa kubwa kama Marekani na alipolizwa je ni wasanii gani wanafanya vizuri alisema “Tukubali tukatae Diamond ameweza kupenyeza sana muziki wake Kimataifa kwani muziki wake unasikilizwa sana hata ukiuliza watu wanamfahamu, mbali na diamond” pia amesema “wasanii wengine ambao wanasikilizwa ni pamoja na Alikiba na Vanessa Mdee nikitaka kuwa mkweli hawa watu watatu wanasilikizwa sana Marekani”

VIDEO:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad