Kila Wakati Anataka Nimgegede, Hataki Hata Niende Kazini...Ushauri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jamani yamenikuta , nililia Mapenzi wakati sina hadi nilikuwa najiona sina bahati ya kupendwa sasa jamani nimepata msichana wa Kitanga ananipenda kufa, Sijui ni kawaida ama la huyu nilie mpata sasa anapenda sana mchezo yaani kila saa anataka tufanye hata ananikataza kwenda kazani mimi ninafanya biashara sasa huwa naenda kusimamia biashara zangu , Binti huyu nimeanza kaa nae nina week ya Pili sasa toka ahamie kwangu huwezi amani sijatoka ndani ananizuia kwa mitego ya khanga moko....Mwee mpaka naona biashara zangu zinadoda....Kweli ndio Mapenzi haya au ?

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad