Mabasi yapigwa Marufuku Kubeba Vifurushi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Atashasta Nditiye ameiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kufanya ukaguzi wa kushtukiza kwenye Mabasi ya abiria ili kuyabaini yale yanayoendelea kusafirisha barua na vifurushi bila kuwa na leseni.

"Mwaka jana nilipiga marufuku lakini bado kuna baadhi ya Mabasi yanaendelea kusafirisha barua na vifurushi bila leseni, huku ni kukiuka Sheria kakagueni anayekamatwa achukuliwe hatua kali"- NDITIYE
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad