Mashirika ya ndege yasitisha safari zake kupitia anga la Iraq

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mashirika kadhaa makubwa ya ndege duniani yamesema hii leo kwamba yanabadilisha njia za safari za ndege ili kuliepuka anga la Iraq na Iran baada ya Shirika la Marekani la usafiri wa angani, FAA kuzizuia ndege za taifa hilo kutumia anga hiyo kufuatia shambulizi la makombora lililofanywa na Iran kwenye vikosi vya Marekani nchini Iraq.

FAA imesema imetoa zuio la anga ambalo pia linajumuisha anga za Ghuba na Oman na eneo la bahari kati ya Iran na Saudi Arabia kutokana na kile ilichotaja kuwa ni kuongezeka kwa shughuli za kijeshi na wasiwasi wa kisiasa Mashariki ya Kati hali inayotishia shughuli za anga za Marekani.

Shirika la ndege la Emirates la Dubai limeahirisha safari za Baghdad hii leo na kusema huenda likafanya mabadiliko zaidi ya safari zake. Mashirika mengine yaliyoashiria kuondoa safari zake ni ya Singapore, Malaysia, China na Austarlia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad