Naibu waziri wa afya Dkt.Faustine Ndungulile amzuia mkurugenzi,DMO kusafiri ndani ya miezi miwili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Na Amiri kilagalila-Njombe
Naibu waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia wazee na watoto Dkt.Faustine Ndungulile amemzuia mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa,mganga mkuu wa wilaya, pamoja na timu ya wasimamizi wa huduma za afya kusafiri ndani ya miezi miwili mpaka utakapobadilishwa mfumo mzima wa uendeshaji wa huduma za afya wilayani humo.

Dkt.Ndungulile ametoa agizo hilo wilayani Ludewa mkoani Njombe mara baada ya kukagua shughuli za vikundi mbali mbali,na mwenendo wa utoaji wa huduma za afya katika wilaya hiyo na kubaini mapungu makubwa katika uendeshaji wa huduma za afya za wilaya.

“Nimewapeni miezi miwili ya kufanya marekebisho makubwa,ndani ya mfumo mzima wa uendeshaji wa huduma za afya Ludewa,na nimeshatoa maelekezo Mkurugenzi,DMO na CHMT yake hakuna kusafiri kwa muda wa miezi miwili”aliagiza Dkt.Ndungulile

Amewata kukaa katika wilaya hiyo na kutembelea vituo vyote vya afya na kuweka mifumo mizuri ya usimamizi huku kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo pia ikitakiwa kukagua utoaji wa huduma.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad