AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 amesajili laini yake kwa njia ya kieletroniki, huku akiwahasa Watanzania wengine kujitokeza kushiriki zoezi hilo, kwa kuwa mwisho ni Januari 20, 2020.
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 akisajili laini yake kwa njia ya Kieletroniki
Rais Mstaafu ameshiriki zoezi hilo leo ambapo amesema hatua ya kufanya hivyo ni kufuatia kuhimizwa na mfano aliouonesha Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya mwishoni mwa mwaka 2019.
Baada ya kushiriki zoezi hilo Kikwete amesema kuwa
Nimeitikia wito wa Serikali na Mhe Rais @MagufuliJP wa kusajili laini za simu kabla ya tarehe 20 Januari, 2020. Nimekamilisha kwa kusajili laini yangu ya mwisho leo. Namshukuru Obrien kutoka @Tigo_TZ kwa kunisajili. Nawahimiza na wengine kufanya hivyo kwai siku zimebaki chache. pic.twitter.com/bZzqyn7F21— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) January 18, 2020
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK