Nyandutoz Aweka Wazi Kuhusu Kusainiwa WCB na Diamond “Nikiwa Chini yao Nakuwa na Amani Sana” – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Rapper Nyandutoz ameweka wazi kuhusu ukaribu wake na Diamond Platnumz baada ya kusemekana ndio msanii anayetarajiwa kusainiwa katika lebo iliyochini ya Diamond.

Mbali na habari hizo kusikika pia ikumbukwe kuwa Nyandu alitangaza kuwa kwa mwaka huu 2020 anatarajia kuwa chini ya usimamizi wa lebo moja ya muziki hapa Tanzania.

Nyandutoz tangua aanze muziki hajawahi kuwa chini ya lebo wala menejimenti yeyote zaidi ya yeye na Mr Blue kuanzia B.O.B MICHARAZO ambapo yeye alikuwa muanzilishi wa B.O.B na Mr Blue akianzisha MICHARAZO lakini waliamua kuziunganisha na kuwa B.O.B MICHARAZO hadi kufikia muda kuwa na baadhi ya wasanii waliokuwa wanaunda kundi hilo ingawa walikuja kugawanyika.

Mbali na hilo Nyandutoz ameeleza kuhusu historia ya maisha yake na kufunguka kuhusu kuhusika katika video ya wimbo wa Diamond wa KANYAGA.

VIDEO:


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad